Mrembo Hamisa Mobetto anazidi kuzichukua headlines tangu ilipojulikana
kuwa ni mjamzito mpaka ujauzito wake kuhusishwa na Diamond Platnumz
mpenzi na mzazi mwenzake na Zari The BossLady na raundi hii amepost
picha akiwa Nairobi na kuandika Mama Dee..?
Wanasema mwenye macho haambiwi tazama..
Saturday, July 08, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: